Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

Jf members appreciation post: Taja kitu kinachokuvutia kutoka kwa mwanajf yeyote

espy akiandika mada huwa nakaa pembeni kisha nasoma tu
sitaki kuchangia maana nitahamisha mada
huu ni upendo wa ajabu

sijawahi kupenda hivi
ukiona nimempenda mtu upendo wazaidi ya espy naombeni mniue

Chautamu wangu peke yangu, nakupenda zaidi ya sana mume wangu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha nikupende tu mm anko wangu
Kama nakuona vile!!
 
**Ladies

Madam B ....I adore this woman jomonii! She's truly honest hadi raha, and she don't fu.k care! That's why I love her!

Simara my shostie akili mia mia!

@Lara1 kubwa la maadui namkubali kinomazzz!

Raynavero hekima, busara, na utu ...love u! Keep t up shost!

**For gentleman

JOHNSON My sweetheart .....real man careness, humble, smart, charming, ur my one n only! Love ya!

Joowzey a best friend of mine ( haukaukagi pm kunipa hi[emoji23] [emoji23] [emoji23] japo sometime sijibu, but ur in my heart as a friend!

Ushimen! Oooh lord niseme nini kwa huyu mtu aniongezeaye siku za kuishi humu duniani, haboi always charming! God bless u!

mng'ato unanipaga raha tukianza kubishania ndingas![emoji23] [emoji23]










Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaje mpaka sijaiona hii!!

[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom