Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] tajiri hewa[emoji23][emoji23]Huu uzi nimekuwa naupita tu bila kusoma content iliyomo ndani, hakika umejua kunifurahisha kwa kweli[emoji23][emoji23] Ndio maana Maxence Melo anashauri uwe na walau IDs mbili, moja ya kimasikini na uuvae umaskini, halafu nyingine uwe tajiri tena zaidi ya Mo Dewj na uuvae utajiri (Jokes) [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Aisee[emoji23] tajiri hewa[emoji23][emoji23]
waliosoma udsm ndo usiseme! Yaani veta hazisemwi[emoji119]
Wale wa drs la 7 na form failure hawajisemi![emoji23][emoji23][emoji23] Aisee
[emoji23][emoji23]Ndo hivyo mkuu, ukishaingia kwenya jamii ya wana jf, kitu cha kwanza ni kuvaa uhusika wa utajiri, bila hivyo utajikuta unapuuzwa na kudharauliwa mpaka ushangae. Si unaona jinsi ambavyo Lumumbashi alivyo na pesa kiasi cha kumfufua mkewe na kufunga nae ndoa ya pili[emoji23][emoji23]Wale wa drs la 7 na form failure hawajisemi!
wote wana PhD na digrees za kufa mtu
Huyo mwamba ni hatari na nusu![emoji23][emoji23]Ndo hivyo mkuu, ukishaingia kwenya jamii ya wana jf, kitu cha kwanza ni kuvaa uhusika wa utajiri, bila hivyo utajikuta unapuuzwa na kudharauliwa mpaka ushangae. Si unaona jinsi ambavyo Lumumbashi alivyo na pesa kiasi cha kumfufua mkewe na kufunga nae ndoa ya pili[emoji23][emoji23]