Hivi huyu ndio alikuwa analeta picha ya kila tukio au comment?
Uzee macho hayaoniHebu ongeza wengine
- Masanilo a.k.a Rev. Masanilo
- BAK a.k.a Bubu Ataka Kusema
- klorokwini
- kwinini
- Numbisa
- Nazjaz mfuga majoka
- Jemima Mrembo
- Sumbalawinyo
- @kidukulilo
- Bill Lugano a.k.a tajiri
- litutumbwe
Jamaa hata ukisema juzi nimepita Tandale nikakuta mbuzi wanapigana sekunde chache anakuletea picha ya tukio ๐คฃ๐คฃ๐คฃYeah ndo huyuhuyu....
I really want him back ๐.
No way!Lara1 alibadili I'd na kua warumi,
Afu warumi ndo tukaambiwa kafariki
Aisee. Dah.. watu wa story wameondoka mapema sana. Kuna Ibra, kuna mzee wa Finland na sasa Lara1๐ญ๐ญLara1 alibadili I'd na kua warumi,
Afu warumi ndo tukaambiwa kafariki
Pambana mahi wangu....maisha ni vitaMaisha dada yananipeleka puta ratiba zimekuwa ngumu mahi
Yes diha.... Ila kale kampango ketu hebu tufanye namna basiPambana mahi wangu....maisha ni vita
Sasa wewe uko race kampong tunafanyaje?Yes diha.... Ila kale kampango ketu hebu tufanye namna basi
๐คฃ๐คฃItakua anakuhitaji huko aliko ukampe kampani
Wanajuaje kama ulikufaJamii forum ukifa I'd yako wanaandika RIp kumbe
Jamaa hata ukisema juzi nimepita Tandale nikakuta mbuzi wanapigana sekunde chache anakuletea picha ya tukio ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Jana na leo bossHeaven on Earth
The boss
Valentina
Miss you too. Usipotee sana madamHey
Missing you
Hajui siju hizi unashinda kule kumshauri INSIDER kuhusu Mama J.Nipo ๐
Tuchekiane kule kule kwa Jana sisSasa wewe uko race kampong tunafanyaje?
Hajui siju hizi unashinda kule kumshauri INSIDER kuhusu Mama J.