JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

JF members waliopotea siku nyingi jukwaani

Mimi natangaza dau....

Atayeniletea Tayta ana donge nono sana....

Wacha kwanza nikamuanzishie uzi....๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ๐Ÿšถโ€โ™€๏ธ

Kasinde nami natamani kupewa nawe hilo donge nono...
 
Kasinde nami natamani kupewa nawe hilo donge nono...

Msafiri nimekumiss, usipotee hivyo kama tako la nyoka...๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Ukuje na Nissan nyeupe tukalisakanye donge nono ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹.

Nimejikuta namkumbuka muuza matunda wa kanisani pale posta mpya daah.. !!
Sijui kwanini....๐Ÿ˜ƒ.
 
Msafiri nimekumiss, usipotee hivyo kama tako la nyoka...๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Ukuje na Nissan nyeupe tukalisakanye donge nono ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹.

Nimejikuta namkumbuka muuza matunda wa kanisani pale posta mpya daah.. !!
Sijui kwanini....๐Ÿ˜ƒ.

Nimekumiss pia Kasinde swaiba mvuta msuba mwenzangu...

Donge nono inabidi nikapewe kwenye viunga vya Ndoto polepole aisee, msuba ukiwa unateketea taratibu...

Posta pashavurugwa, zile hekaheka hakuna tena...
 
Back
Top Bottom