JF ng'are ng'are



Hapa Miss Chaga ndo yupi?
 
Humu kumbe pana vyombo!hapajachacha ila tatizo kupeana ngumi za uso kwa umri wangu huu bora kula kwa macho.Ndoa rasmi na zisizo rasmi inaonekana nyingi humu achilia mbali juu kwa juu nakili kumkichwa ukilemaa umeachwa kwenye soko la jodari kama sio kibua.
 
Ila vingine vina haki na hati miliki hivyo nenda kwa tahadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…