JF Party On My Mind

JF Party On My Mind

Wooow!! Nimefurahi kusikia kuna wazo la kulaunch party ya namna hii... We only live once..let's gooooo guys!

Party, drinks and foods zinaenda pamoja kama Shehe na ubwabwa vile.. Personally huwa naamini food is the another way of celebrating life na kwa vile Nina background ya culinary and Italian cuisine from one of the very prestigious university in the world.. I promise kama nitahudhuria hiyo party nitawaandalia na nitawapikia food moja murua na matata sana inaitwa "Carbonara" ni Italian cuisine hii, dish hii iko deceptively simple but with classy, yaani ingredients zake baadhi ni spaghetti, eggs, pecorino cheese, cured guanciale, and black pepper, najua nikiwatolea good version ya hii menu trust me I will make your day and the party will be forever remembered.

Hapo sijazungumzia Lasagna na Ribbolita these are heart food from Italy ninazomudu kuzitoa catalogue zake kwa uzuri wa kutosha tu. Ndio maana hadi kuna member humu namuonaga anajiita Beef Lasagna atakuwa anaujua utamu wa lasagna from Italy.

Zote hizi nitawapikia bure bila gharama zozote. Trust me we gonna have a party of a lifetime. Hoja imepita nadhani muhimu ni kila mmoja kuvolunter kwenye section anayoimudu... Tutengeneze once in a lifetime event. JF get together party.

N;B Nimeweka na picture za kazi zangu za upishi casual wa nyumbani tu for more clarification.View attachment 862361View attachment 862362
Hii misosi mbona nimeitamani ghafla[emoji36] [emoji36]
 
Nadhani muhimu tupate privacy ya kutosha na place ya kufanya mambo yetu kwa Uhuru na space.. Then na Mimi nipate space ya kufanya sanaa zangu kwenye food catalogue arena.
Beach house basi iwe na sio sehemu kma escape one ili tupate nafasi zaidi. Hata vinywaji na msosi vitakua vingi maana tutapika wenyewe labda na mpishi mwingine mwenye jiko
 
Tunaweza andaa usafiri. Hela si itachangwa bwana. Huko huko tunatoa na ya usafiri. Watu wanakuja mpaka feri wakivuka upande wa pili kunakua na coaster ya kuwaletea eneo la tukio.
Kwa watu wa private transport inakuwaje?
Simara
 
Tunaweza andaa usafiri. Hela si itachangwa bwana. Huko huko tunatoa na ya usafiri. Watu wanakuja mpaka feri wakivuka upande wa pili kunakua na coaster ya kuwaletea eneo la tukio.
Kuna sehemu kama packchonjo ni pazuri , na maeneo ya karibu na hapo kuna beach house zingine...wanaruhusu mnapika..mnaenda na vinywaji...na wahudumu wapo...ila ni mbaliii
 
Back
Top Bottom