Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Sawa mchumba
Peace and love dear. [emoji16][emoji16][emoji120]Hahahahahaaaa.. pole kipenzi
OK OK, means watu wote watakaokuja ktk party wanakunywa hy kituSio kimataifa ndo vitu tunavyokunywa
Ila mm nilikua nachangia party kwa ujumla si MTU mmoja mmoja ,ila fresh nimeelewaTumejiongelea mimi na witnessj
Wee wasiwasi wako ni nini?OK OK, means watu wote watakaokuja ktk party wanakunywa hy kitu
Mkuu unataka kugharamika each n everything?Ila mm nilikua nachangia party kwa ujumla si MTU mmoja mmoja ,ila fresh nimeelewa
Not each and everything, ni katika kunogesha tu,wahudhuriaji wapate japo ka wine kwa watakao vutia lkn kwa aina ya majibu, nachelea kusema ahsanteni ,nitachanga kawaida tuMkuu unataka kugharamika each n everything?
Wee ndo mwanaume sasa!
Wee wasiwasi wako ni nini?
Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
Not each and everything, ni katika kunogesha tu,wahudhuriaji wapate japo ka wine kwa watakao vutia lkn kwa aina ya majibu, nachelea kusema ahsanteni ,nitachanga kawaida tu
JmanNisha tembea na wake za watu maarufu humu kundini.
Sasa si wivu utatuletea mabalaa tukikutana.
Au itakuwa ni yule mwenye kisu kirefu ...
hahahahahaha JoseeeeeeNitasimamia swala la ulinzi mlangoni maana Da'Vinci na Joseverest hawakawii kubeba vyakula kwenye mashati
Hapo sawahahahahahaha Joseeeeee
Leo nipo hapa Ryans bay siku ya tatu.Aah best ake tubadili location kuna chimbo tamu la wahindi Ryan's bay hotel. Mambo murua hakuna shtua roho hee weee katoto kilichokuleta hapa[emoji23][emoji23]
Kwa ujumla siwezi hata iweje,nilifikiria sapoti ya japo chupa kadhaa za Dompo ,lkn nayo napotezea zamaniChili mkuu, kila mtu apambane kivyake.
Kama kuna wa kumpa offer ni sawa, lakini kwa jumla achana na hiyo habari.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] kisa anataka kugharamia kila kituMkuu unataka kugharamika each n everything?
Wee ndo mwanaume sasa!