Hahaaaaaaaaaaaaa Fanya tuonane dogoUtamu wa wali ukoko bro acha kabisa sina mpango wa kuacha kugombania ukoko
Walevi jinsi ambavyo sio wasiri utashangaa baada ya Party kila mmoja anaanza kujitapa na kuropoka ID zao.
Utasikia: Mimi ndiye Mbao za Mawe mnione vizuri ( Kwa sauti ya kulewa)
Kwani kuna shida gani mtu akijua ID yako? Wewe una kipi hadi serikali ikutafute kwenye hiyo party? wakati hujawahi kumtukana hata Mod? Muda wote huko chit chart na Demiss mnazungumzia Mikuyenge na papuchi?Ili kulinda identity inabidi siku hiyo usinywe kabisa. Unapiga zako maji ya limao na nyama choma.
Kwani kuna shida gani mtu akijua ID yako? Wewe una kipi hadi serikali ikutafute kwenye hiyo party? wakati hujawahi kumtukana hata Mod? Muda wote huko chit chart na Demiss mnazungumzia Mikuyenge na papuchi?
HahahahaSiyo mimi mkuu, huo ulikuwa ni ushauri wangu kwa Mbao za Mawe
Mimi sitakuja, so sitajificha.
Ila nitashiriki kwa sababu kuna mtu nitatakiwa kumrudisha nyumbani.
Siyo mimi mkuu, huo ulikuwa ni ushauri wangu kwa Mbao za Mawe
Mimi sitakuja, so sitajificha.
Ila nitashiriki kwa sababu kuna mtu nitatakiwa kumrudisha nyumbani.
Sasa kabla hujamrudisha huyo mtu, utanshusha mimi hapa katikati ya mji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naomba poti asikose
Mimi hapana, we Fanya hy kazi kwa ufasaha Mkuu [emoji23] [emoji23]Wewe namwachia mtu chake hilo zoezi, nina uhakika atalifanyia kazi.
Mimi hapana, we Fanya hy kazi kwa ufasaha Mkuu [emoji23] [emoji23]
Duh hii dua yako Mkuu ,sio nzuri ,ukijipanga unafakiwaMkuu ntashindwa kujigawa, hapa penyewe naombea isifanikiwe.