Kwani vinywaji wanapewa? sasa mimi na Shunie si tutawapunja jamani? Mi naona hiyo elfu 10 kwa ajili ya venue vingine mtu anajitegemea. Sijawahi enda party tukapewa vinywaji au msosi aisee.. labda iwe kitu kama dinner party hivi kuwe na msosi na vinywajiElf 10 ,mmmh hizo gharama zikoje ,hebu jaribu kufanya rafu bajeti , ya ukumbi ,vinywaji na bites kdg
Ingawa sio muhudhuriaji ila elf 10 ndogo ( mtazamo Wangu )
Yes mkuu... Ilikuwa poa sana. Nakumbuka kukutana na watu wengi wengine tumekuwa marafiki hadi leo.Hahaha ,pale juu sio ?
Wewe ukienda na mimi nakuja aise.Yap yap!
Vinywaji ,na vitafunwa kujinunulia? Weka elf 50, kisha anza kampeni rasmi miezi mitatu iliyobaki mpk December ,utakua pazuriSi kiingilio tu. Au unapendekeza ngapi boss?
Hahaha kabisa MkuuElfu 10 ni nauli tu haha
Usijali wana JF hawatokuangusha.Inaniuma yani.
Aahahah haha aisee sina neno ... Sina nenoo .. Naomba niwe mpish tuwe wawil tuu kwa jikoEeeh kwanini ushindwe sasa
[emoji15] Lazima niwepo labda huyo organizer ashindwe yy tuWewe ukienda na mimi nakuja aise.
Utakuwa unampikia nani sasa mkuu?Aahahah haha aisee sina neno ... Sina nenoo .. Naomba niwe mpish tuwe wawil tuu kwa jiko
10,000 ndogo sana.Kwanini?
Kwa elfu 50 vinywaji na msosi lazima viwepo. Sasa hiyo si itakua kubwa lakini mkuu?Vinywaji ,na vitafunwa kujinunulia? Weka elf 50, kisha anza kampeni rasmi miezi mitatu iliyobaki mpk December ,utakua pazuri Hahaha kabisa Mkuu
Hata sijui mpaka sasa kwan mnaongelea nini hapaUtakuwa unampikia nani sasa mkuu?