JF Party On My Mind

JF Party On My Mind

Nimekua nikiwaza sana kwanini wana JF hatukutani hata mara moja kwa mwaka? Wengi mnaogopa kujulikana identity zenu lakini kwani ukija sehemu yenye watu 100 na ukajitambulisha wewe Gladys na huku unatumia Mzigua nani atakaekujua?
Tuacheni woga bwana tupangeni tukutane hata tugonge glass tubadilishane story mbili tatu atakaejitambulisha kwa Id yake itakua ni mapenzi yake.
Mkiunga mkono hoja wale waloandaa mwaka ulee tutawaomba waandae na mwaka huu tukutane maana ya mwaka ule inaniuma kweli kuikosa mpenda bata mimi.
ni fursa ya mimi na wewe kukutana na kupanga ile mipango tuliogusia juzi
 
Mimi kukiwa na mziki mkubwa wa hivyo itabidi nijikabidhi kwa mtu kabisa aniangalie unywaji wangu awe ananikataza. Mziki sio rafiki sana kwangu nikiwa na kunywa maana ntatoa mauno yote mpaka ya chumbani
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] aseee.....mbona ntajionea kituko siku hiyo?

Hata usipojitambulisha nishakujua! Nikiona demu anakata mauno ya kihasara hasara siku hiyo najua ni wewe japo sikujui[emoji23]
 
Back
Top Bottom