Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
yeah sure.You can organise the meet up? That will be great
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah sure.You can organise the meet up? That will be great
Acha zako boss,mimi siwezi kukosa vitu vizuri kama hivi[emoji28] [emoji28] [emoji28] sikuamini kabisa wewe ngosi
Ndio safari hy MkuuBraza, ile njia ya vumbi ni kilometa nyingi sana aise
yeah sure.
Sema pombe ina siku na siku za kumuendesha mtuBhasi mnatofoutiana kuna mdada nilitoka nae nikamtoa tano tu mdada wa watu hoi....
Nikabeba kupeleka room mbio mbio yale mahanjumati walai sitoyasahau lile tendo huwa linanoga sana mdada akiwa katupia vitu kwenye kichwa lol....
Zipo ....tena siku hizi za machupa na cans kubwa kubwa!Hivi reds bado zipo? Kapombe nilikua nakapenda haka
khaaa nitawapa wangapi sasa jamani?Ukome kuwadanganya wenzio sasa ukawalipe ulichowaahidi
Sawa mfanye haraka kabla sijaenda nyumbani maana nalipiwa nauli.Kesho nlatela jibu mkuu la wapi tuanzie
Khaah watu mshapanga mpaka migegedo...khaaa nitawapa wangapi sasa jamani?
Watumiaji wake wengi wamehamia kwenye Savannah.Zipo ....tena siku hizi za machupa na cans kubwa kubwa!
Mi siipendi reds coz inaumiza tumbo! Kukujoa mda wote aaagh! Bora savanna!
Afuu zimekosa wateja siku hizi
Siku ya party nichek pm tutakutana..
kuna ajabu hapo?Khaah watu mshapanga mpaka migegedo...
Mi nikiendaga sehemu hakuna freixenet, Robertson mbadala unakuwa hizo savanna na nikianza sitaki ninywe tena tofauti na hiyo! Haya mapombe inabidi uwe mjanja kucheza nayo! La sivyo yatakuaibisha tuu!Savana imenitesaga lakini. Mpaka kufanikiwa kuiacha haikua jambo jepesi..
Watumiaji wake wengi wamehamia kwenye Savannah.
Hapanakuna ajabu hapo?