Jf pazuri jamani

Jf pazuri jamani

Da Gesh

Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
32
Reaction score
30
Hodi humu ndani, nimekuwa natembelea jf kama guest kwa muda mfupi lakini nimeona ni kwa namna gani jf ni sehemu ambapo huwezi boreka kwa namna yoyote maana imekamilika.

Naamini hamtanitenga.
 
Hodi humu ndani, nimekuwa natembelea jf kama guest kwa muda mfupi lakini nimeona ni kwa namna gani jf ni sehemu ambapo huwezi boreka kwa namna yoyote maana imekamilika.


Naamini hamtanitenga

Karibu sana aiseee.

Kama wewe ni wa kike kuna party maalum huwa naiandaa kwa ajili ya watoto wazuri wazuri wapya wa JF.

Nitumie PM kwa maelezo zaidi.
 
Karibu sana aiseee.

Kama wewe ni wa kike kuna party maalum huwa naiandaa kwa ajili ya watoto wazuri wazuri wapya wa JF.

Nitumie PM kwa maelezo zaidi.
Asante sana mkuu mod wa party
 
Hodi humu ndani, nimekuwa natembelea jf kama guest kwa muda mfupi lakini nimeona ni kwa namna gani jf ni sehemu ambapo huwezi boreka kwa namna yoyote maana imekamilika.

Naamini hamtanitenga.
Panaboa sana wewe hujui tu
 
Hodi humu ndani, nimekuwa natembelea jf kama guest kwa muda mfupi lakini nimeona ni kwa namna gani jf ni sehemu ambapo huwezi boreka kwa namna yoyote maana imekamilika.

Naamini hamtanitenga.
We ni me au ke
 
Back
Top Bottom