Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara baada ya kushinda taji hilo na kumaliza mwaka wake mmoja wa kazi za jamii, alipata ofa mbalimbali za kufanya kazi za mitindo nchini Afrika ya Kusini, na hatimaye kuhamia huko na kuishi huko kwa karibu miaka 10 ambapo aliweza kupata marafiki wa jinsia mbalimbali na kutokana na marafiki hao aliweza kupata mchumba Bwana Jean P. Guyeu, raia wa Ufaransa aliyekuwa akifanya kazi zake nchini Afrika ya Kusini. Mrembo huyo akiwa na mchumba wake huyo hatimaye walikuja nyumbani nchini Tanzania kufunga ndoa ambayo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wajumbe wa Kamati ya Miss Tanzania . Kamati inayoendesha Mashindano ya urembo nchini iliyomuwezesha kumfikisha hapo alipo mrembo linda Maeda. Kwa sasa mrembo Aina na mume wake wanaishi jijini Cape Town, Afrika ya Kusini.Aiseee
Imetrend kumbe wamemkumbuka???
NJE YA MADA
Embu anayejua aniambie kuhusu Aina Maheda huyu mdada bibi mrembo wa wakati huo ilikuaje kuhusu maisha yake na sasa yuko wapi?
Miaka ya 90 watu walipenda sana kuweka ngoma zake wakiwa safarini, zile costa za Dar - Tanga ilikuwa balaa....yaani unalala kabisa vile vimlima vya segera segeraHuyu muhenga anaitwa oliver ngoma, alizaliwa mwaka 1959, gabon, alianza kutamba miaka ya 1989 na ngoma zake kama Adia, ngé, bane, ktk miondoko ya zouk (zuku) na sukuz, nkView attachment 2031159
Mkuu mambo ya ulimwengu wa kiroho haya, nini hiki ?Michoro ya zamaniView attachment 2031161
by the time anapouwa miss mimi nilikuwa sina uchumi, kijana mdogo.... ila nilimpenda sana huyu binti ila yeye hakujua tu... ningemuoaMara baada ya kushinda taji hilo na kumaliza mwaka wake mmoja wa kazi za jamii, alipata ofa mbalimbali za kufanya kazi za mitindo nchini Afrika ya Kusini, na hatimaye kuhamia huko na kuishi huko kwa karibu miaka 10 ambapo aliweza kupata marafiki wa jinsia mbalimbali na kutokana na marafiki hao aliweza kupata mchumba Bwana Jean P. Guyeu, raia wa Ufaransa aliyekuwa akifanya kazi zake nchini Afrika ya Kusini. Mrembo huyo akiwa na mchumba wake huyo hatimaye walikuja nyumbani nchini Tanzania kufunga ndoa ambayo ilihudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wajumbe wa Kamati ya Miss Tanzania . Kamati inayoendesha Mashindano ya urembo nchini iliyomuwezesha kumfikisha hapo alipo mrembo linda Maeda. Kwa sasa mrembo Aina na mume wake wanaishi jijini Cape Town, Afrika ya Kusini.View attachment 2031136
Noma sana aiseeHii nilikutana nayo huko kateshi
Uncle wangu ni wale wazee wa nafco
Kuuliza kulikoni na mawe jibu. "hii husaidia dereva kuangalia usawa wa mita 100 na sio mwisho wa bonetti ya gari"
Nikiwa darasa la kwanza baba alinunua baskeli mpya aina ya Swala, aisee nilianguka nayo kwenye kona hatari, nikaruka nayo matuta matatu la nne hoi kimyaaa !!! sitaki kabisa kusikia hii storyZamani hawakutengeneza za watotoView attachment 2010544
Aisee Jiwe alitoka mbali sana. 🤣🤣🤣
kulikuwa na ka wimbo darasani tunaimba...KIBANGA AMPIGA MKOLONI.
Wahenga mnaikumbuka hii..? Uliisoma mwakagani hii...? Tujuane
Mimi mwaka 1984 la tano.View attachment 2010540
Hizi picha zako mkuu ukiziangalia aisee kuna mahali tulikwama [emoji3]View attachment 1519931
Independence Street Saivi unaitwaje huu mtaa??..........[emoji1][emoji1]
VW Bito.....gari ya wafanyakazi/mabosi
Peugeot Gurue......Gari ya mabaharia
Zamani tulikua hadi tuna Parking Meters kama kwa bibi vile. Sijui tunaenda mbele au tunarudi nyuma?
Hivi historia ya huyu jamaa kwa msaada wake huko, ipo kweli GeoMex inaonekana amefanya mambo mengi sana pengine haya ni baadhi tuView attachment 1520966
Mwaka 1963 Mr Duncan alisepa Tanganyika na kurudi kwao Scotland yeye na familia yake
Kafanana na mwenyekiti wa upinzani [emoji16][emoji16]Huyu muhenga anaitwa oliver ngoma, alizaliwa mwaka 1959, gabon, alianza kutamba miaka ya 1989 na ngoma zake kama Adia, ngé, bane, ktk miondoko ya zouk (zuku) na sukuz, nkView attachment 2031159
Dah halafu nipo nasikiliza ile ngoma yake Ng'e..Huyu muhenga anaitwa oliver ngoma, alizaliwa mwaka 1959, gabon, alianza kutamba miaka ya 1989 na ngoma zake kama Adia, ngé, bane, ktk miondoko ya zouk (zuku) na sukuz, nkView attachment 2031159
Azalaki Seawa [emoji3]