Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na Besige mwenyewe alikuwa personal Dr wa MuseveniPichani ni rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni akisalimiana na baba yake mzazi Mzee Amos Kaguta kijijini Rwakitura muda mfupi baada ya majeshi ya NRA kuiteka Kampala mwaka 1986.
Kulia ni muhandisi Winnie Byanyima ambae kwa sasa ni mke wa kiongozi wa upinzani Kiza Besige.
Ikumbukwe kuwa kabla ya kuolewa na Besige Winnie Byanyima alikuwa ni hawara wa Museveni wakati walipo kuwa katika vita vya msituni.
#[emoji420]Maktaba Yetu[emoji1241]View attachment 2027983
Zahoro Ally
Mixture ya hii unapata mkrogo wa zamani
Hii nilikutana nayo huko kateshi
Huu uchaguzi maalim alishinda kule Zenji CCM wakapindua meza.
Mimi naitwa Jambo Katikati😂😂😂
Hii picha ya Miss Tanganyika ime trend sana wiki hii.... she was so cute by the way.Miss Tanzania 1967
View attachment 1520075
Miss Tanzania wa kwanza mweusi.
View attachment 1520076
Teressq Shayo Miss Tanzania 1968
Kumbe wadada kuvaa vinguo vifupi wameanza kitambo?🤣🤣
Ila huu uvaaji ndo ulifanya mashindano yakapigwa marufuku kwa miaka 27 kwakua yanapingana na tamaduni zetu. Yalikuja kurudi tena mwaka 1994 na alishinda Aina Maeda
View attachment 1520077
Miss Tanzania(Teresa Shayo), Miss Uganda(Rosemary Salmon), Miss Nigeria(Rosalind Balogun) na Miss Ghana(Araba Vroon) wakiwa katika mashindano ya Miss World, UK
Bi Teresa Shayo alifariki mwaka 2007 huko Ujerumani alikokua akiishi kwa Kansa ya Tumbo...RIP
Leonardi Richard bana alikuwa staa sana.
Siku hizi hawa ma power ndiyo wamekuwa wainjiristi nini ??Power Manila by then View attachment 2027965
Nipo kilimani nalanda nangojea pijo kupandaaa....ala kumbe pijo yenyewe ndo hii. 🤣🤣
AiseeeHii picha ya Miss Tanganyika ime trend sana wiki hii.... she was so cute by the way.
Kiboko ya wote Ndolanga. Alihamishia namba ya Fax (Telefax vijana sijui kama wanazijua) nyumbani kwake mpaka hausigelo akawa anajibu Fax za CAF😂😂