JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Screenshot_20220511-050350.jpg
 
Mnamkumbuka Hossen Macheni?
Nakumbuka pale Magomeni kulikuwa na OFFICE yake moja ijulikanayo kama kwa "MACHENI" akiwa na Dj KIM enzi za uhai wao.
Mungu awaondole adhabu za kabr.
Ameen
Screenshot_20220513-122135.jpg
 
Nyerere alitangulia kufa, nahisi qlikuwa anamwambia mambo mazito lakini Mandela akawa anamsifia mama Maria kwa kumtunza baba..

Mungu akubariki sana Mshanajr kwa somo la Picha
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Back
Top Bottom