Yaani Mwafrika anaenda kujifunza historia ya ya bara lake la Afrika nje ya Afrika(University of California) inashangaza sana
magufuli alikuwa anavaa nguo kubwakubwa
Muhammad Ali wa kwanza na wa tatu ni Ken Norton huyo wa kati nmemsahau. Vp nmepatia?
Muhammad Ali, Don King na Joe Frazier. Hili pambano liliitwa thriller in manila na kwa mala ya kwanza Ali alipigwa lkn waliporudiana mara mbili Frazier alipigwa.
The Jackson 5
Late nyunyusa moris
Nani Hawa mkuu
Nyerere alitangulia kufa, nahisi qlikuwa anamwambia mambo mazito lakini Mandela akawa anamsifia mama Maria kwa kumtunza baba..