JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Thomas Joseph Odhiambo Mboya aka Tom Mboya
 
View attachment 1523218
Singida 1937 ( Mashine ya kusaga/Kukamua alizeti??)
Hivi hii teknolojia bado inatumika?...maana kwa hii shida ya mafuta nadhani hizi teknolojia hamna haja ya kuzipa kisogo kama Jamii wengi wao hawamudu gharama ya Mashine za kisasa.

Muhimu mafuta yapatikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…