Askari monument?
Jr[emoji769]
Pole yake..Maeda nilisikia yuko uingereza..Happiness Magese South..huyu wa Temeke ChinaDah mtoto mzuri huyu alishinda taji la Miss Tz akiwa form 3 pale Central Secondary hadi akafukuzwa shule halafu Waziri wa Elimu wakati huo Prof Sarungi akaingilia kati akaendelea mpaka akamaliza form four.
Last time nimesikia habari zake alikua anaumwa sana sanaaa kwao kule juu Imagi/ Iringa Road?
Wapi Aina maeda??
Namuona mtoto wa kichaga hapoMiss Tanzania 1967
View attachment 1520075
Miss Tanzania wa kwanza mweusi.
View attachment 1520076
Teressq Shayo Miss Tanzania 1968
Kumbe wadada kuvaa vinguo vifupi wameanza kitambo?[emoji1787][emoji1787]
Ila huu uvaaji ndo ulifanya mashindano yakapigwa marufuku kwa miaka 27 kwakua yanapingana na tamaduni zetu. Yalikuja kurudi tena mwaka 1994 na alishinda Aina Maeda
View attachment 1520077
Miss Tanzania(Teresa Shayo), Miss Uganda(Rosemary Salmon), Miss Nigeria(Rosalind Balogun) na Miss Ghana(Araba Vroon) wakiwa katika mashindano ya Miss World, UK
Bi Teresa Shayo alifariki mwaka 2007 huko Ujerumani alikokua akiishi kwa Kansa ya Tumbo...RIP
Hadi kuwa mayorView attachment 1458856
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Huyu sasa ndo mtoto wa mjini siyo lijualikali kulialia, toka kitambo enzi zitto anapambania chadema
Hai kweli hadi leoMiss Zanzibar pekeeView attachment 1520073
1967
Hio ndo kwa mara mara ya kwanza na ya Mwisho Zanzibar kufanya shindano la kumtafuta Miss Zanzibar
View attachment 1520074
Miss Zanzibar 1967 Hediye Khamis Mussa
Baada ya hapo mashindano yalipigwa marufuku kwakua ni kinyume na mila, desturi na Tamaduni zetu. Hata kwenda kushiriki Miss World hakwenda
Yupo
Hai kweli hadi leo
Mkuu hongera kwa picha nimeenjoy sana.Aisee habari za Hedaya sijui kwakweli watakuja wakongwe watupe taarifa
View attachment 1520026
Miss Tanzania 1995, Chotara Mgiriki Emily Adolf
Comandante Hugo Chavez Frias....Hasta la Victoria.....Siempre!