JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Miss Tanzania 1967

5081315B-6C89-43CE-8734-A0C82FFC79A3.jpeg

Miss Tanzania wa kwanza mweusi.
2D111EBC-37C8-4031-9083-41C4CAD18AB2.jpeg

Teressq Shayo Miss Tanzania 1968
Kumbe wadada kuvaa vinguo vifupi wameanza kitambo?🤣🤣

Ila huu uvaaji ndo ulifanya mashindano yakapigwa marufuku kwa miaka 27 kwakua yanapingana na tamaduni zetu. Yalikuja kurudi tena mwaka 1994 na alishinda Aina Maeda

D377FA27-AE17-4601-9D3E-BBE2FE067501.jpeg

Miss Tanzania(Teresa Shayo), Miss Uganda(Rosemary Salmon), Miss Nigeria(Rosalind Balogun) na Miss Ghana(Araba Vroon) wakiwa katika mashindano ya Miss World, UK


Bi Teresa Shayo alifariki mwaka 2007 huko Ujerumani alikokua akiishi kwa Kansa ya Tumbo...RIP
 
Dah mtoto mzuri huyu alishinda taji la Miss Tz akiwa form 3 pale Central Secondary hadi akafukuzwa shule halafu Waziri wa Elimu wakati huo Prof Sarungi akaingilia kati akaendelea mpaka akamaliza form four.

Last time nimesikia habari zake alikua anaumwa sana sanaaa kwao kule juu Imagi/ Iringa Road?

Wapi Aina maeda??
Pole yake..Maeda nilisikia yuko uingereza..Happiness Magese South..huyu wa Temeke China
 
Miss Tanzania 1967

View attachment 1520075
Miss Tanzania wa kwanza mweusi.
View attachment 1520076
Teressq Shayo Miss Tanzania 1968
Kumbe wadada kuvaa vinguo vifupi wameanza kitambo?[emoji1787][emoji1787]

Ila huu uvaaji ndo ulifanya mashindano yakapigwa marufuku kwa miaka 27 kwakua yanapingana na tamaduni zetu. Yalikuja kurudi tena mwaka 1994 na alishinda Aina Maeda

View attachment 1520077
Miss Tanzania(Teresa Shayo), Miss Uganda(Rosemary Salmon), Miss Nigeria(Rosalind Balogun) na Miss Ghana(Araba Vroon) wakiwa katika mashindano ya Miss World, UK


Bi Teresa Shayo alifariki mwaka 2007 huko Ujerumani alikokua akiishi kwa Kansa ya Tumbo...RIP
Namuona mtoto wa kichaga hapo
 
Yupo
Miss Zanzibar pekeeView attachment 1520073
1967

Hio ndo kwa mara mara ya kwanza na ya Mwisho Zanzibar kufanya shindano la kumtafuta Miss Zanzibar

View attachment 1520074
Miss Zanzibar 1967 Hediye Khamis Mussa

Baada ya hapo mashindano yalipigwa marufuku kwakua ni kinyume na mila, desturi na Tamaduni zetu. Hata kwenda kushiriki Miss World hakwenda
Hai kweli hadi leo
 
Back
Top Bottom