Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Hiko ni kifaa gani?
Naiona Seiko ndiyo, lakini kama imeunganishwa na kifaa kingine ndicho nisichokijua!
Mkuu huyo Lt. Col. Suma ndo chanzo cha jina la SUMA Jkt auPicha Historia.
Pichani ni Ndugu Reginald Mengi na Bi Mercy Anna Shangali walipofunga ndoa, mchana wa Tarehe 27 Novemba 1971. Bi Mercy ambaye baadae alitambulika kama Mama Mercy Mengi alikuwa Binti wa Chief Abdiel Shangali.
Mzee Mengi na Bi Mercy walibarikiwa watoto watatu, Regina, Rodney and Abdiel.
Bi Mercy aliifariki Dunia tarehe 31 Oktoba 2018 akipatiwa huko Afrika Kusini. Miezi 8 tu baadae, yaani tarehe 2 Mei 2019, Mzee Mengi pia aliifariki Dunia akiwa Dubai.
Wapumzike kwa Amani.
Francis Daudi
Central Park Café, Dar
05-02-2022View attachment 2108641
Yeah ngoja nitafuatiliaNaiona Seiko ndiyo, lakini kama imeunganishwa na kifaa kingine ndicho nisichokijua!
Habari za kimataifa
View attachment 1525805
Saddam Husein akichezea Bastola na mpwa wake 1980. Baadae alikuja kumuoa huyu Hapo
"The post independence government 1957"!
Kuanzia kushoto(jina moja) Salim,Warioba,Kawawa,Nyerere,Mwinyi,Wakil, Maalim Seif.View attachment 1523249
Wakongwe mtanisaidia caption😥😥