JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Picha Historia.

Pichani ni Ndugu Reginald Mengi na Bi Mercy Anna Shangali walipofunga ndoa, mchana wa Tarehe 27 Novemba 1971. Bi Mercy ambaye baadae alitambulika kama Mama Mercy Mengi alikuwa Binti wa Chief Abdiel Shangali.

Mzee Mengi na Bi Mercy walibarikiwa watoto watatu, Regina, Rodney and Abdiel.

Bi Mercy aliifariki Dunia tarehe 31 Oktoba 2018 akipatiwa huko Afrika Kusini. Miezi 8 tu baadae, yaani tarehe 2 Mei 2019, Mzee Mengi pia aliifariki Dunia akiwa Dubai.

Wapumzike kwa Amani.
Francis Daudi
Central Park Café, Dar
05-02-2022View attachment 2108641
Mkuu huyo Lt. Col. Suma ndo chanzo cha jina la SUMA Jkt au
 
1960
Kurasini. Dar es salaam.
FB_IMG_1694141074554.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii timu ya Taifa star ya mwaka 1980
Ambayo ilifuzu kwenda Nigeria
Kutoka kushoto waliosimama Peter Tino
Tenga
Marehemu Mambosasa
Hussein Ngulungu
Marehemu Mohamedi Kajole Machela
Jella Mtagwa
Kocha Marehemu Joe Bendera
Waliokaa kutoka kushoto Ahmed Amasha
Nimemsahau
Nimemsahau
Mohamedi Salim
Mohamedi Rishard
Wahenga karibuni tuje tudadavue
Wenu mhenga mwenzenu Mzee wa zilipendwa Baba Adede Mwinyii
FB_IMG_1694150918836.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
King Cross hiyo, Leyland Clydesdale (CD). Enzi hizo usafiri vijijini ni mgumu na ukilikosa basi leo mpaka kesho, nakumbuka utakuta basi linahudumia vijiji karibu vitatu halafu linalalia kijijini kwenu nyumbani kwenu na linaanza safari alfajiri hapo hapo kijijini kwenu. Mimi nilikuwa nachagua siti ya dirishani kule mbele kabisa kwa dereva ili nione barabara na miti inavyorudi nyuma.
FB_IMG_1694201154772.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom