Yes, ipo kwetu
Hii kitu ni balaa
Scania ni gari sio hizi za kichina miaka 4 Kwisha habari.nakumbuka unatoka na scania Mbeya-Arusha via chalinze ngoma inafika bila kuzimwa engine Wala spana.Enzi hizo, huku kuna basi la Hood kule kuna basi la Islam la Morogoro kwenda Arusha na zote hizi zilianzia na namba TZP, Ukiangalia vizuri utagundua kwamba muundaji wa bodi za mabasi haya ni huyo huyo mmoja sababu yanafanana kila kitu. View attachment 2811920View attachment 2811921
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia inakimbia sana Mshana Jr Sikuhizi wale jamaa wa kupinga picha mitaani hawapo Tena.Leo nimekutana na chogo ikanikumbusha mbali sana. Home wazee waliinunua nikiwa darasa la nne, kwa wenge na furaha mpaka nikavunja mkono[emoji41].
Kabla ya hapo ni wazee watatu tu walikuwa nayo kijijini, kwa mzee mmoja ilibidi tufanye kazi nyumbani kwake kwa muda fulani ndipo tupate fursa ya kuangalia mieleka, we did it wholeheartedly.[emoji41]
Gone are the days [emoji27]!View attachment 2813165
Sent using Jamii Forums mobile app