Enzi hizoooooooooKwa sisi wahenga hizi ndizo starehe zetu kipindi Cha utoto mpaka kwenye ujana
Unaaangalia matangazo kwenye magazeti ndiyo unaamua wende wapi
Kama sinema unamua twende jumba gani?
Kama Dance unaaangalia ukacheze rumba gani leo na ukumbi upi?
Kama unataka kuungalia vikundi vya utamaduni wenyewe tuliita kibisa nayo unaaangalia wende wapi?
Wale waruka majoka yaani Disco vilevile unaaangalia ukarukie wapi
Zamani Raha tupu
View attachment 2826902
Sent using Jamii Forums mobile app