Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #4,881
Hii ndiyo Kivukoni ya enzi hizo, ni vumbi tupu hapo, PANTONI hapo bado saana. Mpiga picha alipiga picha hii akiwa hapa eneo la kivukoni ambapo siku hizi kuna stendi ya mabasi ya Mwendokasi na daladala. Kwa mbali unaweza kujionea sehemu ya Bandari ya Dar es salaam, Kanisa la Roma Mt Joseph na kanisa la Lutheran la Azania Front.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app