Lang'ata hiyo enzi zake miaka ya 80. Kama kuna mtu alikwambia kwamba Leyland CD haikimbii, basi huyu mwamba ilikuwa ni habari nyingine, moto wa kuotea mbali Dar Moshi Arusha. Kampuni hii hata hivyo baadaye watoto walikuja kuivuruga ikagawanyika ikazaliwa "KIKAMBALA" yaani (KIKOSI KAMILI MBALI NA LANG'ATA). Kwa hiyo kukawa na Lang'ata na hiyo Kikambala. Hayo mabasi yalifanana rangi na kilakitu isipokuwa majina tu na wamiliki wake, hata hivyo hazikudumu zikaja kufa.
View attachment 2847681
Sent using
Jamii Forums mobile app