JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Ukisoma historia na kuangalia hizi picha, na ukilinganisha na sasa tumerudi nyuma. We were good back then.
 

Wakafanikiwa kumuua yeye na Rafiki yake huyo Mr. Krokowski( Alikua mPoland mkimbizi waliomkimbia Hitler wakaja kukaa Tengeru pale) .....ntakuja na stori zake nae sikumoja Mungu akijalia

Serikali ya Malkia lakini iliwanyang'anya hizo Pembe za faru kwakua zilikua kubwa sana( Kama mawe ya Saniniu 😄😄) so hawakuweza kuzimiliki wakaambiwa ni mali ya Her Majesty
 
Dah,mkuu wewe ni mwana saaaana! [emoji2956]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…