JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Hahaaa vipi mkuu??
Ulikua humjui Sam Mwakangale??

JK kwenye msiba wa Madiba alimtania Mbeki kwamba yeye karudisha viatu vya Mandela aliviachaga Dar vipi we Thabo Mbeki usharudisha Passport yetu??

Mwingine aliyekiri hadharani ni Raila Odinga naye alipewa kitabu cha Tanzania

Tanzania kimbilio la wote, twawakaribishaπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡Ώ
 
TZ ni Mecca ya Liberation mkuu......tunajivunia!
 
Asante sana hili kwakweli nilikuwa silijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…