JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JamiiForums-665815903.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1523214
Mwanajeshi wa kiTanzania(Isomeke Tanganyika) aliyepigana vita ya kwanza ya Dunia WWI akiwa upande wa Ujerumani

Joseph Mambo alizaliwa 1885 Tanga na akachukuliwa na wajerumani akiwa mtoto mwaka 1897. Alitumikia kikosi cha 3rd Prussian Grenadiers katika vita ya kwanza ya Dunia 1914-18
Kwa sasa yupo wapi?
 
Back
Top Bottom