Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Inaonekana zilikuwa nzuri hizi redio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana zilikuwa nzuri hizi redio
Aisee noma!Hapana tena ndio ulikuwa urijali na ndio maana hakukuwa na vibamia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wenye timu yetu tunakumiss sanaView attachment 1527993
Kila siku nilikuwa najiuliza huyu jamaa ni nani, kumbe ndiye Babu mwenyeweMohammed BabuView attachment 1527420
Cku hz vikombe vya chai vya plastiki yn watu hawazingatii kabisa.Zamani za kale...kifungua kinywaView attachment 1528058
MnoInaonekana zilikuwa nzuri hizi redio
hapo ni mara tu baada ya jaribio la mapinduzi..........View attachment 1521823
Walimtia sana aibu Mwalimu na wengine waliingia mtaani na kuanza kupora maduka ya wahindi[emoji1][emoji1]
Hapo mwalimu anakagua uharibifu
[emoji3][emoji3]
nilisoma mahali wakenya wanasema huyo sio kibaki ila ni aliyekua msaidizi wa KenyattaHii picha ina maraisi wote waliowahi kuitawala kenya
hahahaaaa wewe sidhan kama umevuka 25!
Endelea kudhani hivyohivyo [emoji16]hahahaaaa wewe sidhan kama umevuka 25!
Huyu sio tibaigana kweli??View attachment 1527847
Mzee wa General Attachment
Duniani wawili wawiliUnaeza sema ni barnaba msanii wa bongo flavaView attachment 1528232
niliwahi kusikia ila haikuwa deep na picha kama ulivoleta hapa,Kwahiyo ulikua hujawahi kusikia hio habari?