t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
umeutendea haki sana huu uzi , ikikupendeza pumzika ili upate nguvu ya kutupia picha with details, hiyo ya Putin kukaa morogoro sikuwahi isikia[emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Na sema nimechoka tu kuandika ndo maana kasi ikepungua na majukumu yanabana. Ila nna picha za historia nyingi sana