JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

View attachment 1521823
Walimtia sana aibu Mwalimu na wengine waliingia mtaani na kuanza kupora maduka ya wahindi[emoji1][emoji1]

Hapo mwalimu anakagua uharibifu
hapo ni mara tu baada ya jaribio la mapinduzi..........


kuna siku atatokea mtu nyakati hizi za amani atakusanya walinzi zaidi ya 50 hata hatutaweza yeye kumwona vizuri et kisa kuna wabaya wake!


anyway, i hope hizo siku hazitafika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…