Wake zake, kama yeye mwenyewe, walikuwa wapiganaji.View attachment 1592121
Josina Machel. mwanaharakati, Mwanamapinduzi, Mpigania uhuru wa Msumbiji, Mke wa kwanza wa Samora Machel Rais wa Msumbiji. binafsi namlinganisha na TAMARA BUNKE mwanamke jasiri msaidizi wa Major Ernesto CHE Guevara ama Salia Sanches Mwanamke shupavu Msaidizi wa Fidel Castro
Licha ya harakati zake Josina hakuonja matunda ya uhuru. alifariki na kuzikwa Dar es Salaam kabla ya uhuru wa Msumbiji
Bibie anavaa mpaka inatia raha!View attachment 1533125
Kikwete na Magufuli wakiwa kwenye behewa VIP(T-One) mwaka 2014 hapa JPM alikua Waziri wa Ujenzi walipanda Mikumi nadhani kuelekea MorogoroView attachment 1533126
First Lady wa wakati huo akipanda Behewa VIP
Walikuwa si haba! Sijui waliachana lini mpaka kuwa na uhasama?
True story Mkuu, lkn hawa Marubani Captain Karama na Captain Kikunda walifia palepale Uwanjani Uwanja wa Taifa (Uhuru) nje na viwanja vya TTC Chang'ombe, DUCE uelekeo wa ndege ulishafika maeneo hayo uwanjani na Kariakoo ni mbali, kwa hiyo angeEject mapema bado angeangukia eneo hilo, walichocheza nacho ni ndege isidondokee uwanjaniNdio ilikua kupokea mashujaa wa vita sasa wakati wa maonyesho ikapata hitilafu na Rubani alijitahidi sana isiangukie ndani ya uwanja kwakua ulikua full ingekua maafa akaidondoshea nje ya uwanja mmoja alishindwa ku eject na parashuti akafia humo mwingine ali eject ila alitua vibaya alikuja kukutwa juu ya mti maeneo ya kariakoo kama sikosei. Walikufa kishujaa na mazishi yao yaliongozwa na Mzee Rashid Kawawa
Saluti to the fallen Heroesππ
Duh hii nimeipenda, yaani hao vijana ukiambiwa Makomandoo huwezi bishaView attachment 1523231
30 September 1965 Mwalimu na vijana wake wakisheherekea ushindi.
NOTE: JWTZ wakati huo hawavai bakabaka
Rest in pieceMkomboz wa wana Mara continue to rest in peace View attachment 1598203
Abraham BabuMohammed BabuView attachment 1527420
[emoji1545][emoji1534][emoji1548]Abdulrahman Mohamed Babu ndio jina kamili
View attachment 1599030
Huu sio ukweli.Wanasema mzee karume hakujua kusoma na kuandika kiingereza
So mpaka leo muungano ni batili
Doctrine of none est fuctum
Nilitaka kushangaa kiongozi wa shirikisho la vyama vya mabaharia then asijue kiingereza.Huu sio ukweli.
Sheikh Karume alikuwa ni baharia kwa kazi yake(SeaMan) ameizunguka dunia kutokana na kazi yake ya ubaharia.
Aliyoifanya miaka kwa miaka.
Haiingii akilini kuwa hakujua kiingereza ama kusoma kwa wakati huo kwa kuwa alikuwa akikitumia kwenye kazi zake za ubaharia.
Ni kweli Sheikh Karume hakuwa msomi kwa kiwango cha kariba ya Julius Nyerere na Aboud Jumbe wanafunzi wa Makerere.
Ila alikuwa na exposure kubwa sana kutokana na asili ya kazi yake ya kuzunguka duniani.
Mkuu unaeza kujua kuongea lugha yoyote na usijue kuiandika wala kuisoma lugha yenyewe...hilo halipingiki...ila hili la Karume tunaitaji kujifunza zaidi.Huu sio ukweli.
Sheikh Karume alikuwa ni baharia kwa kazi yake(SeaMan) ameizunguka dunia kutokana na kazi yake ya ubaharia.
Aliyoifanya miaka kwa miaka.
Haiingii akilini kuwa hakujua kiingereza ama kusoma kwa wakati huo kwa kuwa alikuwa akikitumia kwenye kazi zake za ubaharia.
Ni kweli Sheikh Karume hakuwa msomi kwa kiwango cha kariba ya Julius Nyerere na Aboud Jumbe wanafunzi wa Makerere.
Ila alikuwa na exposure kubwa sana kutokana na asili ya kazi yake ya kuzunguka duniani.
Upo sahihi sana.Mkuu unaeza kujua kuongea lugha yoyote na usijue kuiandika wala kuisoma lugha yenyewe...hilo halipingiki...ila hili la Karume tunaitaji kujifunza zaidi.