JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

View attachment 1592121

Josina Machel. mwanaharakati, Mwanamapinduzi, Mpigania uhuru wa Msumbiji, Mke wa kwanza wa Samora Machel Rais wa Msumbiji. binafsi namlinganisha na TAMARA BUNKE mwanamke jasiri msaidizi wa Major Ernesto CHE Guevara ama Salia Sanches Mwanamke shupavu Msaidizi wa Fidel Castro
Licha ya harakati zake Josina hakuonja matunda ya uhuru. alifariki na kuzikwa Dar es Salaam kabla ya uhuru wa Msumbiji
Wake zake, kama yeye mwenyewe, walikuwa wapiganaji.
 
Mkomboz wa wana Mara continue to rest in peace
IMG_20201012_090221.jpeg
 
Ndio ilikua kupokea mashujaa wa vita sasa wakati wa maonyesho ikapata hitilafu na Rubani alijitahidi sana isiangukie ndani ya uwanja kwakua ulikua full ingekua maafa akaidondoshea nje ya uwanja mmoja alishindwa ku eject na parashuti akafia humo mwingine ali eject ila alitua vibaya alikuja kukutwa juu ya mti maeneo ya kariakoo kama sikosei. Walikufa kishujaa na mazishi yao yaliongozwa na Mzee Rashid Kawawa

Saluti to the fallen Heroes😭😭
True story Mkuu, lkn hawa Marubani Captain Karama na Captain Kikunda walifia palepale Uwanjani Uwanja wa Taifa (Uhuru) nje na viwanja vya TTC Chang'ombe, DUCE uelekeo wa ndege ulishafika maeneo hayo uwanjani na Kariakoo ni mbali, kwa hiyo angeEject mapema bado angeangukia eneo hilo, walichocheza nacho ni ndege isidondokee uwanjani
 
Wanasema mzee karume hakujua kusoma na kuandika kiingereza
So mpaka leo muungano ni batili
Doctrine of none est fuctum
Huu sio ukweli.

Sheikh Karume alikuwa ni baharia kwa kazi yake(SeaMan) ameizunguka dunia kutokana na kazi yake ya ubaharia.
Aliyoifanya miaka kwa miaka.

Haiingii akilini kuwa hakujua kiingereza ama kusoma kwa wakati huo kwa kuwa alikuwa akikitumia kwenye kazi zake za ubaharia.

Ni kweli Sheikh Karume hakuwa msomi kwa kiwango cha kariba ya Julius Nyerere na Aboud Jumbe wanafunzi wa Makerere.

Ila alikuwa na exposure kubwa sana kutokana na asili ya kazi yake ya kuzunguka duniani.
 
Huu sio ukweli.

Sheikh Karume alikuwa ni baharia kwa kazi yake(SeaMan) ameizunguka dunia kutokana na kazi yake ya ubaharia.
Aliyoifanya miaka kwa miaka.

Haiingii akilini kuwa hakujua kiingereza ama kusoma kwa wakati huo kwa kuwa alikuwa akikitumia kwenye kazi zake za ubaharia.

Ni kweli Sheikh Karume hakuwa msomi kwa kiwango cha kariba ya Julius Nyerere na Aboud Jumbe wanafunzi wa Makerere.

Ila alikuwa na exposure kubwa sana kutokana na asili ya kazi yake ya kuzunguka duniani.
Nilitaka kushangaa kiongozi wa shirikisho la vyama vya mabaharia then asijue kiingereza.
 
Huu sio ukweli.

Sheikh Karume alikuwa ni baharia kwa kazi yake(SeaMan) ameizunguka dunia kutokana na kazi yake ya ubaharia.
Aliyoifanya miaka kwa miaka.

Haiingii akilini kuwa hakujua kiingereza ama kusoma kwa wakati huo kwa kuwa alikuwa akikitumia kwenye kazi zake za ubaharia.

Ni kweli Sheikh Karume hakuwa msomi kwa kiwango cha kariba ya Julius Nyerere na Aboud Jumbe wanafunzi wa Makerere.

Ila alikuwa na exposure kubwa sana kutokana na asili ya kazi yake ya kuzunguka duniani.
Mkuu unaeza kujua kuongea lugha yoyote na usijue kuiandika wala kuisoma lugha yenyewe...hilo halipingiki...ila hili la Karume tunaitaji kujifunza zaidi.
 
Mkuu unaeza kujua kuongea lugha yoyote na usijue kuiandika wala kuisoma lugha yenyewe...hilo halipingiki...ila hili la Karume tunaitaji kujifunza zaidi.
Upo sahihi sana.

Ila tumeona kwenye picha nyingi Sheikh Karume akisoma hotuba.

Narudia kusema kuwa nadharia kuwa Sheikh Karume hakujua kusoma, nadharia hii ipo mbali na ukweli.
IMG_20201014_134840.jpeg


Hapa Sheikh Karume akitia saini ya "maandishi" makubaliano ya awali ya Muungano wanashuhudia Oscar Kambona na Waziri mkuu wa Seimrikali ya watu wa Zanzibar Abdallah Kassim Hanga.
 
799EC6A3-76ED-4706-8F8D-F7F2AA527E94.jpeg

Katika kitu kingine najifunza kwa huyu mzee mchonga ni kutojiachia kitambi pamoja na wadhifa wake

Imefikia kipindi kitambi kinalinganishwa na hadhi ya mtu😂😂😂😂

Tusio na miili obese tunaonekana hatuna fweza/wadhifa

#nyerereDAY
 
Back
Top Bottom