Asingenga'nga'nia madaraka angeingia kwenye mashujaa wa AfrikaView attachment 1715566
Kabla ya kuzeeka alikua kijana.Tata M7 katika harakati msituni 1980s
Wakati si milele....!!!View attachment 1715564
Mama Sitti Mwinyi, Rais Ali H. Mwinyi na mama Maggie Thatcher(PM, UK) 1988
Very social leaders... When leaders...were true leadersView attachment 1715561
1964, JKN & AAK na mirinda zao
Hakika kabisa mkuuAsingenga'nga'nia madaraka angeingia kwenye mashujaa wa Afrika
I feel so sorry for such African leadersHakika kabisa mkuu
Tatizo la kile kiti ni kama kina mashetani yaaani mtu anabadilika kabisa tofauti naa misimamo ya mwanzoni ya maslahi ya taiga kwanza. Mpaka saivi anajiita "Kotapini".... Anaingia kwa nyundo ukitaka kumtoa pia ni nyundo sio makaratasi hahaha
Kushoto ni Sheikh Thabit Kombo Katibu Mkuu wa Afro Shiraz Party.View attachment 1715561
1964, JKN & AAK na mirinda zao
Asante sana mkuu. NimeupdateKushoto ni Sheikh Thabit Kombo Katibu Mkuu wa Afro Shiraz Party.
Kushoto ni Sheikh Thabit Kombo Katibu Mkuu wa Afro Shiraz Party.
Ni Kagame na nani? M7?View attachment 1715750
Marafiki wawili toka Kigali
Fred RwigyemaNi Kagame na nani? M7?
Yule msanii alitaka urais kwa makaratasi,wakati Joker kauchukua kwa mtutu[emoji2][emoji2]View attachment 1715566
Kabla ya kuzeeka alikua kijana.Tata M7 katika harakati msituni 1980s
Una picha yako ya zamani? ya jamaa yako? Ya ndugu yako? Ama ya mtu yoyote anayejulikana na wengi ungependa ku share nasi ili tutengeneze super album ya JF?
Mimi naanza na hizi. Si ngeni machoni mwenu. Nawe weka yako/zako
View attachment 1457109View attachment 1457110
Jr[emoji769]
Mkuu samahani, kiswahili kizuri ungeandika wakiwa wameshikilia soda zao aina ya Mirinda.View attachment 1715561
1964, JKN & AAK na mirinda zao
Hahaaa sawa mkuuMkuu samahani, kiswahili kizuri ungeandika wakiwa wameshikilia soda zao aina ya Mirinda.
Weweeee hahaaaa
Kumbe walikuwa waskati kutoka kitambo