JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Mohmmed Said akiwa mwaka 1 na nusu
1953
CC: Mohammed Said
JamiiForums194700593.jpg
 
Kilimo cha Matikiti kinalipaView attachment 1723503
Hii ilete huku

Umekula tunda gani leo?
 
😳😳Kwani hii nayo ni picha ya zamani?...
Nimeshampa link ya sehemu husika


Umekula tunda gani leo?
 
1989 Makomando wa Tanzania wakiwa mstari wa mbele kwenye mapambano na RENAMO(Msumbiji). Kutoka kushoto Godwin Chilewa, John Mwaluko na Kihuye Misigaro
Screenshot_20210312-111109.png


Huyu Godwin Chilewa baada ya Utumishi wa JWTZ alikuja kufanya kazi na "Idara" kwa karibu miaka 20 na baadae akatimkia zake USA saivi ni mtumishi wa Mungu(Rev. Godwin Chilewa) pia ni muandishi wa vitabu. Yuko Houston nadhani

Picha kwa hisani ya Pastor Godwin
 
1989 Makomando wa Tanzania wakiwa mstari wa mbele kwenye mapambano na RENAMO(Msumbiji). Kutoka kushoto Godwin Chilewa, John Mwaluko na Kihuye Misigaro
View attachment 1723629

Huyu Godwin Chilewa baada ya Utumishi wa JWTZ alikuja kufanya kazi na "Idara" kwa karibu miaka 20 na baadae akatimkia zake USA saivi ni mtumishi wa Mungu(Rev. Godwin Chilewa) pia ni muandishi wa vitabu. Yuko Houston nadhani

Picha kwa hisani ya Pastor Godwin
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
View attachment 1714568
2/10/1967 Nyerere akiwa na mkuu wa kwanza wa JKT(ASP David Nkulila) kushoto na kulia ni ndugu Gondi wakiwa Arusha kuweka jiwe la msingi ujenzi wa nyumba za wanajeshi.

Angalia kwanza uniform za mwanzoni za JKT( kabla haijaunganishwa na JW)

Na pia kaa ukijua zamani mkuu wa kwanza wa JKT alitokea polisi

Wakati ukuta aiseeView attachment 1714575
Siku hizi jiwe la msingi linawekwa jengo likiwa limekamilika.
 
So Leo Tanzania imepata Rais Mwanamke kwa mara yq kwanza. Mungu akusaidie Maddam President Samia Suluhu Hassan
IMG-20210319-WA0020.jpg


Hapa chini ntaangazia baadhi ya harakati za wanawake katoka ulimwengu wa siasa za Tanganyika na Baadae Tanzania



Haya ni maandamano yaliyoandaliwa na wanawake katika mitaa ya Dar es Salaam kumuunga mkono Mwalimu JKN baada ya maasi ya jeshi yaliyofeli Feb 1964
 

August 1966 haya ni maandamano yaliyoandaliwa na Bibi Titi Mohammed kwenda Ikulu Dar es Salaam kumshinikiza Mwalimu awwpe kazi wanawake,kwa maneno kuwa wanaume walikua hawawezi kazi nyingine na mara nying walikua wanaendekeza ulevi tu (Inneficent and Often Drunk)
 
Back
Top Bottom