JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Asingenga'nga'nia madaraka angeingia kwenye mashujaa wa Afrika
Hakika kabisa mkuu
Tatizo la kile kiti ni kama kina mashetani yaaani mtu anabadilika kabisa tofauti naa misimamo ya mwanzoni ya maslahi ya taiga kwanza. Mpaka saivi anajiita "Kotapini".... Anaingia kwa nyundo ukitaka kumtoa pia ni nyundo sio makaratasi hahaha
 
Hakika kabisa mkuu
Tatizo la kile kiti ni kama kina mashetani yaaani mtu anabadilika kabisa tofauti naa misimamo ya mwanzoni ya maslahi ya taiga kwanza. Mpaka saivi anajiita "Kotapini".... Anaingia kwa nyundo ukitaka kumtoa pia ni nyundo sio makaratasi hahaha
I feel so sorry for such African leaders
 
Kushoto ni Sheikh Thabit Kombo Katibu Mkuu wa Afro Shiraz Party.
Screenshot_20210302-193523.png


Nimeipata nyingine ya Thabit Kombo na Kambona,1965
 
Back
Top Bottom