JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Miss Tanzania 1967

View attachment 1520075
Miss Tanzania wa kwanza mweusi.
View attachment 1520076
Teressq Shayo Miss Tanzania 1968
Kumbe wadada kuvaa vinguo vifupi wameanza kitambo?🤣🤣

Ila huu uvaaji ndo ulifanya mashindano yakapigwa marufuku kwa miaka 27 kwakua yanapingana na tamaduni zetu. Yalikuja kurudi tena mwaka 1994 na alishinda Aina Maeda

View attachment 1520077
Miss Tanzania(Teresa Shayo), Miss Uganda(Rosemary Salmon), Miss Nigeria(Rosalind Balogun) na Miss Ghana(Araba Vroon) wakiwa katika mashindano ya Miss World, UK


Bi Teresa Shayo alifariki mwaka 2007 huko Ujerumani alikokua akiishi kwa Kansa ya Tumbo...RIP
walio hai watakuwa na miaka 72 hadi sasa - tumechukulia walikuwa na 18 yrs mwaka 1967.
 
Kanali Abdullrahmani Kinana(Naibu Waziri wa Ulinzi na jkt) na Luteni Kanali Jakaya Mrisho Kikwete Waziri wa Nishati na Madini. Siku ya Kuustaafu rasmi Utumishi Jeshini Chuo Cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli(TMA) mwaka 1992
hawa watu wanavyoheshimika hivi katika kulitumikia taifa letu mtu mmoja anasema ati wajiangalie sana wanaweza kushughulikiwa vilevile - aisee !!
 
Hii naikumbuka hii,Memory QView attachment 1527954
Ukiwa nayo hii miaka ya 1979 wewe mtaa nzima ni nouma, staa yaani...kuna mwalimu alikuwa nayo hii basi akipata mshahara ananunua betri 8 za national aisee ni mziki mwanzo mwisho......

Nakumbuka mziki wa Embassy ukipigwa basi mama atanitafuta no where to be seen...
 
1622707953389.png
 
Back
Top Bottom