Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Banana mzee wa sefuliView attachment 1519919
Watu wengi huwa wanadhani Mugabe ndio alikua Rais wa kwanza wa Zimbabwe.
Kuna mwamba aliitwa Canaan Bondido Banana ndio alipewa usukani baada ya makubaliano ya Lancaster na R. Mugabe alikua Waziri Mkuu
Mnazi mmojaView attachment 1519930
1981 VW Kombi ndo gari ya kishua[emoji1][emoji1].......Panajulikana hapa
Hatua 3 mbele ...5 nyuma...!!!View attachment 1519931
Independence Street Saivi unaitwaje huu mtaa??..........[emoji1][emoji1]
VW Bito.....gari ya wafanyakazi/mabosi
Peugeot Gurue......Gari ya mabaharia
Zamani tulikua hadi tuna Parking Meters kama kwa bibi vile. Sijui tunaenda mbele au tunarudi nyuma?
Mnazi mmoja
Jr[emoji769]
Yuko wapi saivi huyu?View attachment 1520026
Miss Tanzania 1995, Chotara Mgiriki Emily Adolf
Ndio ndio ila alianzia Bongo naona hapo yupo na mzee Mwabulambo( Alikua wizara ya michezo??) wanatishianaMohammed Ally ndani ya Congo Kinshasa?
Jr[emoji769]
Wapi hapa
Jr[emoji769]
Yuko wapi saivi huyu?
Jr[emoji769]