JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

29330206-C2EA-43CE-927C-E1B3DA26164C.jpeg

Muzungu na Rafiki 1950s
 
View attachment 1519931
Independence Street Saivi unaitwaje huu mtaa??..........[emoji1][emoji1]
VW Bito.....gari ya wafanyakazi/mabosi
Peugeot Gurue......Gari ya mabaharia

Zamani tulikua hadi tuna Parking Meters kama kwa bibi vile. Sijui tunaenda mbele au tunarudi nyuma?
Hatua 3 mbele ...5 nyuma...!!!

Jr[emoji769]
 
Ndio ndio ila alianzia Bongo naona hapo yupo na mzee Mwabulambo( Alikua wizara ya michezo??) wanatishiana

Nyerere alikataa kuonana nae Mohamed Ali
Ooh OK OK kwanini!?

Jr[emoji769]
 
Yuko wapi saivi huyu?

Jr[emoji769]

Dah mtoto mzuri huyu alishinda taji la Miss Tz akiwa form 3 pale Central Secondary hadi akafukuzwa shule halafu Waziri wa Elimu wakati huo Prof Sarungi akaingilia kati akaendelea mpaka akamaliza form four.

Last time nimesikia habari zake alikua anaumwa sana sanaaa kwao kule juu Imagi/ Iringa Road?

Wapi Aina maeda??
 
Miss Zanzibar pekee
552FBBDE-8787-4042-B444-18B885F6F133.jpeg

1967

Hio ndo kwa mara mara ya kwanza na ya Mwisho Zanzibar kufanya shindano la kumtafuta Miss Zanzibar

D6A8F4EF-CBCD-4FEB-BBA2-9EDF9BA81091.jpeg

Miss Zanzibar 1967 Hediye Khamis Mussa

Baada ya hapo mashindano yalipigwa marufuku kwakua ni kinyume na mila, desturi na Tamaduni zetu. Hata kwenda kushiriki Miss World hakwenda
 
Back
Top Bottom