Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahamishia Vip kwenye gogo mkuu Embu Nielekeze na mimi Bibi yako nipate kujua,Sawa mkuu
Hapo mie ndo nilikuwaga nampenda....aliwanyoosha haswa.View attachment 1525800
Ila jamaa hakuwapenda wazungu/wahindi hata kidogo. Alitulipizia kisasi kidogo[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mzee alikuwa pia amechoshwa na Obote kimtindo,huyu kuchukua Madaraka ilikuwa ni poa pia.View attachment 1525799
Kabla ya uadui walikua wanaongea pamoja
Brother leader..View attachment 1525802Akiwa na mshkaji wake
[emoji23][emoji23]Habari za kimataifa
View attachment 1525805
Saddam Husein akichezea Bastola na mpwa wake 1980. Baadae alikuja kumuoa huyu mpwa wake[emoji1][emoji1]
Hapa ndo alikuwa anatumika kikamilifu,,Marekani,USSR na EU wote wanampa silaha ili aweze kuyaangusha Mapinduzi ya Kiislam ya Iran 1979Habari za kimataifa
View attachment 1525805
Saddam Husein akichezea Bastola na mpwa wake 1980. Baadae alikuja kumuoa huyu mpwa wake[emoji1][emoji1]
View attachment 1525802Akiwa na mshkaji wake
Kanungila,@Mohamed Said njoo hapa utupe ukweli tafadhali
Shukrani sana mzee wangu.Kanungila,
Kweli Mzee Kondo alikuwa kachero na hili si siri mimi kanieleza kwa mdomo wake ingawa nilikuwa nafahamu ila siku hiyo aliponieleza alikuwa ananipa jina la kachero aliyekuwa akimchimba Julius Nyerere ilhali yeye mwenyewe ni kiongozi mkubwa wa TANU.
Sijasikia hii😄😄Mbona nasikia ni mashemeji?
Karibu mzee wanguKanungila,
Kweli Mzee Kondo alikuwa kachero na hili si siri mimi kanieleza kwa mdomo wake ingawa nilikuwa nafahamu ila siku hiyo aliponieleza alikuwa ananipa jina la kachero aliyekuwa akimchimba Julius Nyerere ilhali yeye mwenyewe ni kiongozi mkubwa wa TANU.