JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Dah! Huu uzi umenigusa. Kuna picha zinasisimua.

Picha za Viongozi wetu enzi hizo wakikutana na Wa Mataifa kama China na USA ilikuwa habari kubwa hadi taarifa zinachapwa na kusambazwa kiprotocol. Unakuta Nyerere au Salim A. Salim ameweka pozi la kimadaraka mwenyeji kama anajipendekeza vile.


Laiti Uongozi uliomfatia Nyerere ungekuwa na Haiba zake kama.


Kuandika dira ya Taifa, Azimio la Arusha, misingi ya jamii, uchumi na watu wake.

Uzalendo kwa taifa bila mvurugano, ona kuna usawa wa kiteuzi muda wa uhuru wazungu na wahindi waliula.


Ila ndio hivyo kuna baadhi ya vikundi vinarubuniwa kuwa huo ni ubaguzi ubaguzi matokeo yake ni kulalamika na kuomba mageuzi.

Nchi yetu ingeendelea kwa speed ile ya Nyerere naamini leo Kenya hata kudhubutu kuwaza Kuandika jina la Tanzania kwa nia mbaya ingekuwa mtihani.

Ni kweli mkuuwalikua na heshima sana(Walijiheshimisha)
31F37843-2324-4504-8AB8-028E7A5EA147.jpeg

Nyerere na Malkia Juliana wa Uholanzi 1978. Malkia alikuja kumtembelea Mwalimu
( Huyu alikua Malkia 1948-1980)

92022935-82A0-4EB0-803C-49B8610C9FDE.jpeg

Hapa Mwalimu na Bibi Eliza
 
Wadau kulikuwa na jukwaa likionyesha picha mbalimbali na wahenga,kina mwenye picha alikuwa anatuma je linaitwaje?
 
Habari za kimataifa
View attachment 1525805
Saddam Husein akichezea Bastola na mpwa wake 1980. Baadae alikuja kumuoa huyu mpwa wake[emoji1][emoji1]

ila nimeamuni leo kila binadamu kuna sehemu ana utoto ndani yake [emoji23],Saddam na ugumu wote ule aliweza kufanya hvo tena kwenye picha !!!!
yani Biography yake tu kwanza ni nzito alihukumiwa kifo akiwa 20’s
 
ila nimeamuni leo kila binadamu kuna sehemu ana utoto ndani yake [emoji23],Saddam na ugumu wote ule aliweza kufanya hvo tena kwenye picha !!!!
yani Biography yake tu kwanza ni nzito alihukumiwa kifo akiwa 20’s

Hahahaa kuna vitu watu powerful wanafanya nyuma ya pazia ukisimuliwa hutaamini
 
Hahahaa kuna vitu watu powerful wanafanya nyuma ya pazia ukisimuliwa hutaamini

[emoji1787]leo nimeamini kabisa Mkuu,yani miaka yote huwa namuona jamaa kama mwamba fulani mtata,yani kwa kifupi hapa Duniani hakuna Binadamu mtata kama yeye hata Hitrel hakuwa kauzu kama Saddam .alafu kumbe kwa wanawake Saddam alikuwa mtoto hivo
 
Back
Top Bottom