JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

Screenshot_20211128-200454.jpg
 
......wifi zangu mna mambo....[emoji445][emoji444]...mambo yenu ya ajabu..... jamani nifanye nini....ooh...ooh...nifanye nn...
..
Naelewa mazoea .... Yana taabu, lkn nitajitahidi kusahau×2...

.....kwanza mngeniuliza,....kipi ananipendea,...mnadhani miti shamba.....na mapenzi hayana dawa....jamani nifanye nini....ooh...ooh nifanye NN....

KIDA WAZIRI.......jamani huyu mama yupo wapi siku hizi?....
Screenshot_20211129-092919.jpg
 
Kwa uimara wa milango na madirisha ya zamani usingeweza kuvunja ili uingie ndani ya nyumba kwa nia ya kutenda uhalifu bila kutumia hili jiwe lililokuwa maarufu kwa jina la FATUMA.. Na lilikuwa na mbebaji wake ambaye pia ndio alikuwa mbondaji.. View attachment 2025696
Dah! Nmekumbuka mbali sana tulivamiwa nyumbani na hilo jiwe walitumia kuvunja mrango
 
Back
Top Bottom