JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

bi ana makinda siku za ujana wake
img_1_1661359807863.jpg
 
Anaitwa Céline Dion Amezaliwa Charlemagne,Quebec"Canada Mwaka 1968 Ni Mwimbaji Na Mtunzi Wa Nyimbo Mashuhuri Za Pop Kutoka Nchini Canada Alianza Kuimba Mnamo Mwaka 1980 Anatunzo 243
World's Best Female Artist, Best Live Act World's Best Entertainer of the Year "World's Best Song N.k
Kwasasa Anasumbuliwa Na Kansa.View attachment 2331922
Kansa nyoko
 
Walio simama kutoka kushoto Ni Mh: Majaaliwa na waliopiga magoti wa pili kutoka kushoto Ni Mwalimu Kashasha, wakiwa Butimba TTC.View attachment 2332658
Hii picha ingeenda katika Uzi wa Mshana ule wa "Tafsri ya picha katka ulimwengu wa kiroho "hasa ukiangalia Mh. Majaliwa alivyojiweka pembeni na wenzake utadhani alijua kuwa kabisa kuwa hawa wengine si jamii yake huko mbeleni
 
Back
Top Bottom