CASTRATION OF SLAVES(KUHASIWA WATUMWA)
-Watumwa wengi waliopelekwa bara la Asia alitolewa maeneo yafuatayo:-
.Abisynia
.Darfur.
.Korodofan
. Zanzibar
.Na maeneo mbalimbali ya bara la Africa
N:B Masikitiko makubwa ni kufanyiwa vitendo vya Kuhasiwa/kukatwa viungo vyao vya uzazi pasina ganzi ili pelekea wengi wao kupoteza maisha kwa kupoteza damu nyingi sana na walifanya kwa kuwa wengi wa hao watumwa walipelekwa kuwa kama ma house girl na ma house boy na walinzi wa makasri ya kifalme.
-Mfamo mzuri ni huyo mwamba pichani anaitwa Moorish Eunuch alikuwa muhanga wa kukatwa nyeti enzi za biashara ya utumwa ulifanywa na Mwarab alifanya bega kwa bega na Mzungu.
View attachment 2612366