JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

JF Photo Library: Mada maalum ya Picha za Zamani

TAMADUNI ZETU
wasukuma wa kale, hapa tanzania ilifahamika kuwa wasukuma wametangulia masai kwaku hudumisha mila,
Hapo unasikia tu "eeeeeeeh...eeeeeeeh.,..soga doo, kaya mhola duu ja mashikuu......eeeeeeh
FB_IMG_1694916246249.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
UTAMADUNI ZETU
................................

wasukuma wa kale, hapa tanzania ilifahamika kuwa wasukuma wametangulia masai kwaku hudumisha mila,
Hapo unasikia tu "eeeeeeeh...eeeeeeeh.,..soga doo, kaya mhola duu ja mashikuu......eeeeeehView attachment 2751761

Sent using Jamii Forums mobile app
👨‍🎤👨‍🎤👨‍🎤🙇‍♂️🙇‍♂️🙇‍♂️
 
BAND:_Juwata jazz band.
WIMBO:_Uzuri si shani, (1979).
MTUNZI:_Saidi Mabela.
WAIMBAJI:_ Bichuka, Belesa Kakele, Juma Akida, Joseph Lusungu.
SOLO GITAA;_ Saidi Mabela.
RIZIM GITAA:_ Abdalah Omary.
BASS GITAA:_ Selemani Mwanyiro.
TUMBA:_ Sidy Morris.
SAXOPHONE:_ Mnenge Ramadhani, na juma Hassani Town.
TRUMPETS:_ Joseph Lusungu, Betto julius Pacheko, na Zitto Albert Munda.

MASHAHIRI YAKE:
Bichuka anaanza na sauti moja Kali sana.
Ahaaaaaaaa......
Kubadili mawazo yako weweee....
Kijana nakuonea huruma, tabia yako si yakuridhishaaa...
kijana una umbo la kupendezaa, mrefu mneneee, na mwanya wa wastaniii....x2.
Hakika uzuri si shanii, utu wa mtu ni tabia njemaaa....x2.

FB_IMG_1694929939037.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAYA SASA WAHENGA NAWALETEA SENDEMAA YA MWAKA 1988.

BAND:_ Marquis du Zaire.
WIMBO:_ Ngalula, (1988).
MTUNZI:_ Tshimanga kalala Asosa.
WAIMBAJI:_ Asosa, Kabeya Badu, Prince Issa Nundu, na Bukumbule Lulembo Parashi.
SOLO GITAA:_ Dekula Kaanga vumbi.
SEC/SOLO:_ Mulenga Kalonje Vata.
RIZIM GITAA:_ William Maselenge.
BASS GITAA:_ Ilunga Banza Mchafu.
TUMBA:_ Seif Said.
DRUM:_ Dekizi wa Dekizi.
SAXOPHONE:_ Salum Nyembo,
TRAMPETA:_ Kalama Zoo na wengineo.

MASHAIRI YAKE:
Kinachonifanya nishindwe kuhamua eee...Mama eee.... Eeeee najua mwenyeweeee......Eeee mamaaa pamoja na vituko vyake mamaeee bado namuitaji maishanieee....Eeee najuaeee Ngalula....Eeee nimekuzoeaeee....

Dah! Yaani utamu wa wimbo huu waliimba wote kwa pamoja mwanzo mwisho, alafu hilo solo gitaa la Dekula ni hatari, na moto wa bass gitaa la Ilunga Banza Machafu ni balaa.

FB_IMG_1695027974226.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha hii ilipigwa mwaka 1910 Tanga, Hilo jengo ni Hotel ya Kwanza ya Kisasa Afrika Mashariki na kati, Hotel Kaiserhof. Hotel Ilijengwa 1890 na Wajerumani.

Hotel yenye jina hilo pia ilikuwepo Morogoro ambayo ilijengwa 1900s, ilikuwepo Dar es Salaam pia ambayo baadae ikaitwa New Africa Hotel.

Kaiserhof ya Kwanza ilijengwa mwaka 1875, Berlin, Ujerumani.

Wakati wa ukoloni Tanga palikuwa kitovu cha Wajerumani hivyo wakaamua kujenga Hotel hiyo mwaka 1906, ilikuwa ni Maalumu kwa ajili yao tu.
FB_IMG_1695028363303.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
utalamu za kitanzania
.....................................

1822 muuguzi wa kitamaduni akinunua mvinyo kutoka kwa bi fatouma, jijini dari salam
pahali ambapo litajengwa baadae mji wa kinondoni

picha
[emoji328] Avray Foumban 1822, jumba la makumbusho la Berlin Ujerumani
FB_IMG_1695028640399.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Movie anatafsiri Lufufu Mkandala halafu kabla ya movie kuanza kunakuwa na wimbo wa bolingo wakati huo bolingo ndo habari ya mjini, ukikuta movie HAINA mwamba Captain Derrick Gasper Mkandala Lufufu kolokomabeja ujue hyo ya mchongo na banda UMIZA hakutajaa

R.I.P aliyekuwa mwanajeshi mstaafu Captain Derrick Gasper Mkandala Lufufu uliziwezea sana movies za kivita
FB_IMG_1695177962863.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom