JF special thread kwaajili ya Facts

JF special thread kwaajili ya Facts

Well, i am only tring to understand who really are those people to make things change in this Country

Why dont you take that initiative.?

If you will manage to change our minds, we will gladly change our priorities and follow you.
 
Why dont you take that initiative.?

If you will manage to change our minds, we will gladly change our priorities and follow you.
🤣🤣🤣 ngoja kwanza mkuu nitoke huku mogadishu ninapouza maandazi
 
You go to jail for doing it outside the womb, you don't for doing it inside the womb.

You do it inside the womb they call you a doctor, outside the womb they call you a criminal.

You are called skillful if you do it inside the womb, you are called brutal if you do it outside the womb.

We are here today because we survived the womb.

The most dangerous place for a baby today is in its mother's womb.
Sijaelewa chochote
 
🤣🤣🤣 ngoja kwanza mkuu nitoke huku mogadishu ninapouza maandazi

What is the use of having certain knowledge, while the only thing you can do is just sit, watch and be mad!

Participate and be glad.💪
 
Screenshot_20210410-105143_WhatsApp.jpg
 
Kukosa usingizi wa kutosha kulingana na umri husababisha matatizo katika mwili na kuathiri ukuaji wa misuli, huathiri uponyaji wa tishu na mambo mbalimbali ya muhimu yanayotokea wakati umelala

Kukosa usingizi wa kutosha kulingana na umri huathiri utendaji wa mwili (metabolism), hali (mood), kumbukumbu (memory) na utendaji wa moyo hivyo kuongeza hatari ya mtu kunenepa kupita kiasi, kupatwa kisukari, saratani na maradhi ya moyo
 
Kufanya mazoezi huimarisha mwili na ogani zake kama moyo. Mazoezi humuepusha kuwa na uzito kupita kiasi, huzuia maradhi ya moyo na kupanda kwa shinikizo la damu na kuboresha kumbukumbu na utendaji mzuri wa ubongo/akili

Kutembea na kuendesha baiskeli hukupa fursa ya kufanya mazoezi bila kuhitaji muda maalumu wa kufanya mazoezi. Kuendesha baiskeli kwa saa 1 kila siku kwa siku 7, hukusaidia kuchoma nusu kilo ya mafuta kutoka katika mwili wako

Kuendesha baiskeli kwa saa 1 kila siku kwa siku 7, hukusaidia kuchoma nusu kilo ya mafuta kutoka katika mwili wako. Mwendesha baiskeli ana moyo imara unaofanya kazi kwa ufanisi, kuliko mtumiaji wa gari au pikipiki

Kula mlo kamili na kufanya mazoezi husaidia mwili kutonenepa kupita kiasi. Unene kupita kiasi huhusishwa na hatari ya kupata maradhi kama Kisukari, Kupanda kwa Shinikizo la Damu, Magonjwa ya Moyo, Saratani n.k.

Mambo matano rahisi yanayoweza kukufanya uwe na furaha:

1~ Kutafakari (Meditation),

2~ Kutabasamu,

3~ Kufanya Mazoezi,

4~ Kusaidia Wengine

5~ Kuwa na Malengo!
 
Japan is facing a ninja shortage. There is a high demand for “ninja shows,” but it is a dying tradition, and companies have trouble finding properly trained ninjas.......🤔 hii training hapa bongo nimekosa kazi kabisa inabidi nizamie Japan
Wachukue mkopo wa ma ninja kwa wachina! 🤣
 
Boeing uses potatoes to test their in-flight Wi-Fi, as they reflect and absorb the signals similarly to people. The project is called Synthetic Personnel Using Dialectic Substitution- or SPUDS.
 
Back
Top Bottom