JF: The only place you can meet real beautiful women

Si kwa sifa hizi Mkuu. Haya bhana nadhani leo inbox yako itatapika. Kila la heri na baraka. 😡

 
Hapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Mkuu tupatie ndele sasa. Kula kwa macho kunauma.
 
Mkuu utakuwa umekula mambo ya warembo wa huku. Huwezi kusifia hiv hiv, lazma umejiridhisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…