Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
HahahaSijui nikufungulie uzi wa kukusifia..? Niimbe mashairi tuu mwanzo mwisho.
Napenda ila wataniiba ujue!!! We nisifie tukiwa wawili tuu, halafu ujue nimemisi mbebisho eeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaSijui nikufungulie uzi wa kukusifia..? Niimbe mashairi tuu mwanzo mwisho.
Akikujibu niiteBabu upo?
Hapana kabisa... Mimi sio bazazi halafu nawaheshimu sana.. Wote niliokutana nao ni kwa ajili ya issues.. Kama kuna niliyemtafuna hata kwa bahati mbaya ajitokeze.. Nitaomba radhi
Hahahaa! Mbebisho baadaye bhana..! Mambo yalikuwa mengi tuu..!Hahaha
Napenda ila wataniiba ujue!!! We nisifie tukiwa wawili tuu, halafu ujue nimemisi mbebisho eeeh
HahahaHahahaa! Mbebisho baadaye bhana..! Mambo yalikuwa mengi tuu..!
Mtu akukuiba ajue ataenda kukuaa nafasi iliyoachwa wazi na babu seya pale ukonga.
Na lazima ulogwe..! This is january after an extended spending..[emoji3][emoji3]Niloge na mimi
NimekasirikaShkamo
Naona ameshakula limao...! I hope umeona alichokujibu [emoji41]Akikujibu niite
Jamani babuNimekasirika
Logwa tuu ejimeti wanguNiloge na mimi
HahahaNaona ameshakula limao...! I hope umeona alichokujibu [emoji41]
Ndo hapo sasa unausononesha moyo wanguJamani babu
Nitaishije mjini bila wewe lakini
Leo hakuna mmbebisho...!Jamani babu
Nitaishije mjini bila wewe lakini
Tumejipanga wapinzani wataisoma
Nisamehe Mimi mchepuko wangu!!!Ndo hapo sasa unausononesha moyo wangu
Abeeeeeh