JF: The only place you can meet real beautiful women

JF: The only place you can meet real beautiful women

Ndio Mungu huyo huyo, Bwana wa mabwana!!!! Ametuachia amri kuu nayo ni ya UPENDO... Na akasisitiza tuitafute amani na watu wote!!!
Unakumbuka vita ya wana wa israel na wafilisti? Israel na waamon, israel na waamalek ?

Unaakumbuka vita ya Taifa la israel na mataifa pingani kwenye kitaabu chote cha Waamuzi?

Go make a refference and speak about it ...
 
Unakumbuka vita ya wana wa israel na wafilisti? Israel na waamon, israel na waamalek ?

Unaakumbuka vita ya Taifa la israel na mataifa pingani kwenye kitaabu chote cha Waamuzi?

Go make a refference and speak about it ...
Khaaaa
 
Asante Mr Mshana kwa kutukumbuka lkn unaweza kuta waliopo huko kwingine ndo waliomo humu, ID fake ujue

Lakini asante sana maana doh umetupamba tumepambika sio wenzio kutwa kutunanga
Mshana Kasema ukweli, na nimejua kweli anafanya utafiti.
 
Asante Mshana,umetupamba leo hadi raha.Japo nnajua haukumaanisha wanawake wote humu.
 
Ulichosema ni ukweli mtupu Mkuu. JF ni Chuo cha aina yake na kinafundisha mengi sana.
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji121] [emoji123] [emoji109] [emoji121] [emoji106] [emoji2]
 
Back
Top Bottom