JF: The only place you can meet real beautiful women

Mkuu katika siku ambazo nmeshindwa kukuelewa nileo...

*Kuna siku uliwahi sema ,, FB PEKEE NDIO MAHALI UWEZAYO KUMJUA MTU KINDAKI NDAKI NA MENGIIIII UKAYASEMA......ZAIDI UKASEMA JF WATU WANAFAKE NINGUMU KUWAJUA KWASABABU WANAFAKE NA MENGI UKAYASEMA KUHUSU JF.

Leo ,,,Unabadilika Unaponda tena FB and alikes ,,sasa unasifia JF upande wa wanawake .

Nina kila sababu yakukuuliza hili swali,,, Wewe ni Mnufaika wa Wanawake wa JF km walivyo wengine ??. Kiasi cha kushindwa kueleweka msimamo wako ??....na unahisi Mambo ya mapicha mapicha machafu hayafanyiki JF ???.

Tena nimara 100 ya huko mitandaoni ambako utaona kwa macho na kuogopa kabisaa kumsogelea ,,Lkn sio yaliyomo humu ,watu ni chini kwa chini mapicha ya uchi n.k ...
Kwaufupi niivi ,, Isingekua JF kua Social media ya Siri siri ,, Hata humu watu wangekua wanarusha mapicha yao ya uchi.

UKITAKA KUPROVE ME RIGHT ,, HUJIULIZI KWANN WANAWAKE HUMU WANARUSHA MAPICHA YA WANAWAKE WENZAO WAKIWA UCHI ????

KWANN WANAWAKE HAWA HAWA HUCHANGIA NYUZI ZA MAPICHA YA WANAWAKE WENZAO ZA UCHI KWA FURAHA KABISA???.

sasa km hayo yanafanyika ,,sembuse picha zao ?????

Hahahahaha Leo sijakuelewa kabisa Mkuuu !!! Labda useme Post yaleo umeiwek kifaida zaidi !!!.
 

Siku ukiijua yangu

Nitafanya sherehe na kukualika.. eeeeh
 
Utatekwa mkuu subir waje
 
Hapana kabisa sina faida yoyote nikitulia nitaweka screen shots za post zote mbili kisha utaona tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…